Cheza ka rumba Pasua na misambaBila kuyumba Tingisha hiyo thutha Said if you didn’t know now you gon know Who da bad gyal with a killa man flow Mtakuja vunja mamigongo mnaforce kiki kati hamna bando Shtua joti one timeShaku shaku one timeSoco soco one timeNgaleleloooo one timex2Banjuka tu (Nasema tena)Banjuka tu(Bila kujali)Banjuka tu(Sahau shida)Banjuka tu x2Siku hizi mambo yamekuwa ya kifooo Mnatafuta penz badala kusaka dowWatoto wakiume kuwa mamamiloo Tunasaka milaaana kabla kudanja oh ohMnatafuta mabebe Ilimradi tu wawabebebe Mna swaga za kisedeeeMmekalia tu mamakededeShtua joti one timeShaku shaku one timeSoco soco one timeNgaleleloooo one timex2Banjuka tu (Nasema tena)Banjuka tu(Bila kujali)Banjuka tu(Sahau shida)Banjuka tu x2 ... Read More...
Share