HUYU MUNGUU NI WA AJABU SANA, HUYU MUNGU NI WA AJABU HU, HUYU MUNGU, HUYU MUNGU NI WA AJABU SANA, HUYU MUNGU NI WA AJABU ,HUYU MUNGU NI WA AJABU SANA, HUYU MUNGU NI WA AJABU SANA.kamtoa mwane wapekee sana, kamleta kwetu sisi wanadamu, kwa mabaya yetu na dhambi zetu , tumewekwa huru tumekombolewa, tumesamehewa dhambi kwa ajili yake, ni nani leo hii angeweza yote haya kwa upendo wake tumeshinda dhambi, kweli nimeona Mungu ni wa ajabuHuyu mungu, huyu mungu,huyu mungu ni wa ajabu huu, huyu mungu ni wa ajabu hu, huyu mungu ni wa ajabu sana( mara 2)Yote yamekwisha pale msalabani, utukufu ni wake mungu wa mbinguni, amefanya njia pasipo na njia, pasipo na njiaIli mimi nawewe tusipate tabu maishani mwetu kwenye ndoa zetuKweli nimeona Mungu ni wa ajabu huuHuyu mungu ,huyu mungu, huyu mungu ni wa ajabu hu, huyu mungu ni wa ajabu hu, huyu mungu ni wa ajabu sana (mara 2)Nimepitia magumu nimemuona Mungu, nilikua kifungoni Mungu kanifungua, watu walinitupa Mungu kaniokota, kweli nimeona Mungu ni wa ajabu, kweli nimeona Mungu ni wa ajabu, kweli nimeona Mungu ni wa ajabu,Huyu mungu, huyu mungu, huyu mungu ni wa ajabu huu, huyu mungu huyu mungu ni wa ajabu sana, huyu mungu ni wa ajabu sanaAlikonitoa mwenzenuu, ni mbali sana aah, nashindwa kuyaelezea, mengi ameyafanya, mengi ameyaepusha, mengi ameyatenda yaliyokuwa magumu, lakini leo hii kwa uwezo wake nimemuona baba ni wa ajabu, wale walio lia , alisimama naoohoo, huyu mungu ni wa ajabu huuamefuta machozi yanguhuyu mungu ni wa ajabu huuamenipa mume boraahahuyu mungu ni wa ajabu huuanatupenda wotehuyu mungu ni wa ajabu huuametutoa mbalihuyu mungu ni wa ajabu huuAmetupa ushindiiiiiiiii eeeeeeeh ...
Read More...
or login using your social media account
or login using your social media account
Share